• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

"Nimelizishwa na kazi mnazozifanya Halmashauri"

imetumwa: February 7th, 2023

Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi(CCM) wilaya ya Kahama Mh.Thomas Myonga leo katika

kikao cha Baraza la Madiwani cha kukamilisha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo amesema Chama

cha Mapinduzi wilaya ya Kahama kimeridhika na namna Halmashauri hiyo inavyotekeleza ilani ya chama hicho

kwa kukamilisha miradi mbalimbali ya wananchi kwa wakati.

Mwenyekiti huyo amewapongeza wah.Madiwani,Mbunge,Mkurugenzi Mtendaji na wataalamu wote katika ngazi mbali

mbali kwa kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Mh.Rais Dr. Samia suluhu za kuiletea maendeleo jamii katika

nyanja za kilimo, elimu na afya. Mh.Thomas Myonga amesema yeye na wajumbe wake hufanya ziara ndani ya Halmashauri

pasipo kutoa taarifa lakini muda wote hukuta miradi ikitekelezwa kwa ubora na usimamizi mzuri.

Sambamba na hili Mwenyekiti huyo amewaagiza wataalamu wote ndani ya Halmashauri kwenda vijijini kutatua kero

za wananchi, suala ambalo limo katika ilani ya chama hicho. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo

Mh. Mibako Mabubu amemwahidi kutekeleza maagizo yote aliyoyatoa na kuongeza kusema Halmashauri ya Msalala

imepokea fedha nyingi za kutekeleza miradi ya wananchi na kumwomba mwenyekiti wa CCM kumfikishia shukrani

za dhati za wanaMsalala Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Imetolewa na kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Halmashauri ya Msalala


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Tangazo la Ufadhili wa masomo toka kwa Mbunge wa jimbo la msalala October 19, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 28.02.2023 February 23, 2023
  • Pakua hapa maelekezo ya namna kujikinga na ugonjwa wa Ebola October 12, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Tazama yote

Habari mpya

  • "Nimelizishwa na kazi mnazozifanya Halmashauri"

    February 07, 2023
  • Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

    December 19, 2022
  • Baraza lapongeza ripoti ya ufungaji hesabu zake

    September 28, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.