• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

"Nimelizishwa na kazi mnazozifanya Halmashauri"

imetumwa: February 7th, 2023

Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi(CCM) wilaya ya Kahama Mh.Thomas Myonga leo katika

kikao cha Baraza la Madiwani cha kukamilisha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo amesema Chama

cha Mapinduzi wilaya ya Kahama kimeridhika na namna Halmashauri hiyo inavyotekeleza ilani ya chama hicho

kwa kukamilisha miradi mbalimbali ya wananchi kwa wakati.

Mwenyekiti huyo amewapongeza wah.Madiwani,Mbunge,Mkurugenzi Mtendaji na wataalamu wote katika ngazi mbali

mbali kwa kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Mh.Rais Dr. Samia suluhu za kuiletea maendeleo jamii katika

nyanja za kilimo, elimu na afya. Mh.Thomas Myonga amesema yeye na wajumbe wake hufanya ziara ndani ya Halmashauri

pasipo kutoa taarifa lakini muda wote hukuta miradi ikitekelezwa kwa ubora na usimamizi mzuri.

Sambamba na hili Mwenyekiti huyo amewaagiza wataalamu wote ndani ya Halmashauri kwenda vijijini kutatua kero

za wananchi, suala ambalo limo katika ilani ya chama hicho. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo

Mh. Mibako Mabubu amemwahidi kutekeleza maagizo yote aliyoyatoa na kuongeza kusema Halmashauri ya Msalala

imepokea fedha nyingi za kutekeleza miradi ya wananchi na kumwomba mwenyekiti wa CCM kumfikishia shukrani

za dhati za wanaMsalala Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Imetolewa na kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Halmashauri ya Msalala


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.