• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI, T.R.A NA MADINI WATOA ELIMU YA ULIPAJI USHURU KWA WAMILIKI WA PLANTI NA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO

imetumwa: June 2nd, 2017

OFISI YA MKURUGENZIMTENDAJI MADINI  NA T.R.AWATOA ELIMU YA ULIPAJI WA KODI KWA WAMILIKI WA PLANTI NA WACHIMBAJI WADOGOWADOGO.

              Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya msalala, ofisi ya mapato na T.R.A kwa pamoja waliitisha kikao na wamiliki wa mitamboya Uchenjuaji na wachimbaji                       wadogowadogo, mwezi wa sita mwanzo.                                                                                                                                                                                         

         Akifungua kikao kazi hicho kaimu mkurugenzi mtendaji  Ndg. Zabrone  Donge aliwataka wadau hao kushirikiana na serikali kuleta maendeleo kwa jamii na taifa kwa ujumla                                                      

 Naye mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni muweka hazina wa halmashauri ya wilaya ya msalala Ndg. Masatu Mnyoro alieleza kuwa ulipaji wa ushuru  kwa halmashauri ya wilaya, na ipo katika sheria ndogo  anayefanya kazi za uchimbaji/uchenjuaji alipe ushuru huo ili uwezeshe kukamilisha miradi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya wilaya ya msalala. Mweka hazina huyo aliongeza kwa kusema Halmashauri ya wilaya ya msalala imevuka lengo katika zoezi zima la kukusanya mapato ambapo kufikia mwezi wa 4 (robo 3 ya mwaka) Halmashauri ya wilaya ya msalala ilikuwa imekusanya jumla ya Tsh 3,200,000,000 ambapo ni sawa na 102% na hivyo kuomba  wote wanaodaiwa walipe madeni yao kabla ya 2016/2017 kuisha. Alihimiza ni vema kubadilika kulingana na nyakati.

     Akichangia mada meneja Masoko T.R.A wilaya ya Kahama Ndg. Beatus Malo aliwashukuru wajumbe kwa mahudhulio na kuwaomba walipe kodi kwa hiari ili kuwezesha maendeleo kwa jamii na taifa kwa ujumla. 

     

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.