• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

imetumwa: December 19th, 2022

Serikali katika Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga imejipanga kuondokana na utegemezi wa mapato yake

ya ndani kutegemea uzalishaji wa madini ya dhahabu unaofanywa na mgodi wa Bulyanhulu, kwani Halmashauri hiyo hupata 70% ya

mapato yake kutoka mgodi huo na 10% kutoka kwa wachimbaji wadogo wadogo. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri

ya Msalala MHE. Mibako Mabubu wakati wa

ziara ya kujifunza namna ya uzalishaji wa zao la korosho katika Halmashauri ya Manyoni iliyoko mkoani Singida.


Ziara hiyo imeongozwa na Mhe. Mibako mabubu akiongozana na Baraza la waheshimiwa Madiwani, Mkurugenzi Mtendaji (W ) ndugu

Charles Fussi, na wakuu wa idara 6 wanaohusiana na shughuli za maendeleo na ustawi wa Halmashauri. Uchumi wa wananchi  wa

Halmashauri ya Msalala unategemea sana uchimbaji wa madini ya dhahabu unaofanywa na mgodi mkubwa nchini wa Bulyanhulu pamoja

na wachimbaji wadodo wadogo huku makusanyo mengine kama ushuru wa mazao, leseni za biashara na magulio yanachangia 20% kwenye

pato la Halmashauri.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji ndg. Charles Fussi amesema ardhi ya Halmashauri ya Msalala inafanana na ardhi iliyopo manyoni

hivyo wananchi wa Msalala wachangamkie fursa hiyo pindi Halmashauri itakapoanzisha uzalishaji kwani zao la korosho lina manufaa

makubwa kwa jamii, nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manyoni katika salamu zake kwa wanamsalala amesema zao la korosho huanza kutoa

korosho ndani ya miaka 3 na huendelea kwa muda wa miaka 30 na zaidi. Zao hili likitunza vizuri huwa na kipato cha uhakika katika

kaya.

Akitoa maelekezo kwa waheshimiwa Madiwani na wataalamu,  Afisa Kilimo Halmashauri ya Manyoni bwana Kizenga Shaban amesema Halmashauri

ya Manyoni huotesha miche ya Korosho katika vitalu kwa muda wa miezi 3 na baadae huwauzia wananchi kwa Tsh. 1000 na kuwafuatilia wakulima

muda wote kwa lengo la kutoa ushauri wa kitaalamu katika uzalishaji wa zao hilo ili kuweza kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojito

keza. Halmashauri ya Manyoni imehusisha wadau mbalimbali waliopo ndani na nje ya nchi katika ulimaji wa zao hili hivyo ni vema pindi

uzalishaji uanzapo Halmashauri itoe matangazo kwa wadau ili kuunga mkono kilimo hicho.

Imetolewa na kitengo Cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Tangazo la Ufadhili wa masomo toka kwa Mbunge wa jimbo la msalala October 19, 2022
  • Pakua hapa maelekezo ya namna kujikinga na ugonjwa wa Ebola October 12, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Nafasi za Kazi za Udereva February 12, 2020
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

    December 19, 2022
  • Baraza lapongeza ripoti ya ufungaji hesabu zake

    September 28, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.