• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

SHIRIKA LA KCPRP LIKISHIRIKIANA NA TAS LASAIDIA WATU WENYE ULEMAVU

imetumwa: August 29th, 2018


Shilika hili limeaanza mwaka 2016 na linatarajia kumaliza mwaka 2019, shilika linafadhiliwa na Lilian Forndation wa Uhoranzi, shirika hili linatetea haki za watu wenye Ulemavu. Mwenyekiti wa shirika hili alieleza njinsi wanavyo fanya kazi kwa ushirikiano na TAS kutetea haki za watu wenye ulemavu wa Ualbino wilayani Msalala, kwa upande wake naibu mwenyekiti muheshimiwa Benedicto mamwali wa  Msalala alilishukuru shilika hilo kwa msaada wanaotoa kuwasaidia walemavu wa Ualbino wilayani msalala, kutokana na maisha waliyo kuwa wanaishi zamani na maisha wanayo ishi kwa sasa.

     Mkuu wa wilaya ya Kahama mheshimiwa bwana Anamringi Macha alizishukuru sana taasisi ambazo zinaendelea kujitolea kuwasaidia ili kuhakikisha maisha ya watu wenye ulemavu wa Ualbino kuwa na maisha ya kawaida na kutokujihisi kuwa wanatengwa, pia mkuu wa wilaya alisisitiza kuwa watu wenye ulemavu wa albino waache kujinyanyapaa wenyewe, wajishughulishe kulingana na hali zao.

   Sekta mbalimbali nazo zilijieleza jinsi wanavyo toa misaada kwa watu hao wenye ulemavyu wa Ualbino, sekta hizo ni TASAF,CHF, sekta ya Afya Pamoja na sekta ya Elimu sekta hizi nazo zinajitahidi kuwasaidia watu wenye ulemavyu wa Ualbino kulingana na jinsi mtu mwenye ulemavu huo anatakiwa asaidiwe.

Bonyeza link hii  https://youtu.be/KrrvUAcKStI kutanzama na kusikiliza 

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.