• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

"Simamieni urejeshwaji wa Mikopo"

imetumwa: July 10th, 2023

Kauli hii imetolewa na Katibu wa Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji(W)

NDG. Hamis Katimba wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Msalala

ambapo amewataka Wajumbe wa Kamati hiyo, Waheshimiwa Madiwani wote na Wataalamu wa halmashauri kuwa mstari

wa mbele kuhakikisha vikundi vyote vilivyokopeshwa fedha na Halmashauri vinarejesha fedha zilizokopa ili

ziweze kutumika kwa vikundi vingine pindi Serikali itakapotoa mwongozo mpya wa ukopeshaji.


Kamati hii imetoa pongezi kwa uongozi wa halmashauri unaoongozwa na MHE. Mibako Mabubu mwenyekiti wa Halmashauri

akishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji (W) NDG. Hamis Katimba kwa kusimamia na kuhakikisha miradi iliyoibuliwa

inatekelezwa kwa viwango vya juu na kwa wakati. Kamati hii pia imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania kwa kutoa fedha kuwezesha ukamilishaji wa ofisi ya makao makuu ya Msalala, Hospitali ya wilaya,

ujenzi wa vituo 2 vya afya vyote vikiwa na lengo la ustawi wa afya za wananchi.


katika kikao hiki taarifa za utekelezaji wa shughuli Halmashauri za robo ya nne, wajumbe wameshauri Serikali

kuleta mbolea mapema kwani kilimo katika eneo hili huanzia mwezi wa tisa,sambamba na Halmashauri kuchagua

vituo vya uuzaji wa pembejeo vilivyo karibu na wananchi wa Msalala kwani mwaka jana wananchi walipata usumbufu

wa kusafiri umbali mrefu kufuata huduma, suala hili limepokelewa na Mkurugenzi Mtendaji (W) na ameahidi

kulifanyia kazi.


Kamati hii imemwomba Mkurugenzi Mtendaji (W) kushughulikia tatizo la wanufaika wa TASAF ambao wamefanya kazi

katika ajira za mda pasipo kupatiwa fedha zao licha ya tatizo hili kuwasilishwa TASAF makao makuu miezi 5 iliyopita

sambamba na orodha ya kaya maskini zilizoorodheshwa mwaka 2021 mpaka sasa hazijaingizwa kwenye mpango. Mkurugenzi

Mtendaji (W) ameahidi kumwalika Msimamizi wa TASAF(W) kwenye baraza la Madiwani ili kutoa majibu ya hoja hii.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

MSALALA


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.