• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Tahadhari ya Ugonjwa wa ukimwi yatolewa

imetumwa: July 12th, 2024

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudhibiti Ukimwi ya Halmashauri ya Msalala (CMAC) MHE.Frola Sagasaga ameutaadharisha umma wa wakazi wa Halmashauri ya Msalala kuchukua tahadhari

wakati wote kwani Halmashauri hiyo ina mwingiliano mkubwa wa watu ambao hufika kwa ajili ya kujitafutia ridhiki kutokana na kuwa na fursa mbalimbali.Baadhi ya fursa

hizo ni uwepo wa migodi midogo midogo ya dhahabu na kwa mwaka huu mpunga mwingi umevunwa hivyo kupelekea maeneo mengi vijijini kuwa na wageni wengi hali ambayo

inaweza kuchochea maambukuzi mapya ya ugonjwa wa Ukimwi.Niombe Kamati za kudhibiti Ukimwi za kata (WMAC) na Vijiji (VMAC)zifufuliwe na zisimamie suala hili katika maeneo yao.


Kwa upande wake Mratibu wa Ukimwi Halmashauri ya Msalala NDG.Jackson Oswago ameunga mkono hoja hiyo kwa kutoa takwimu ambapo amesema licha ya takwimu za maambukizi kuonyesha

maambukizi ya ukimwi mkoani shinyanga yamepungua lakini ipo mikoa ambayo ilikuwa na kiwango kidogo cha maambukizi lakini kwa sasa takwimu zinaonyesha maambukizi katika mikoa hiyo

kuongezeka na maeneo yetu tunapokea watu kutoka sehemu mbalimbali hivyo ni vizuri wananchi kuchukua tahadhari katika maamuzi wanayoyafanya kwani siku hizi jamii imejisahau na

kuona ukimwi kuwa ni ugonjwa wa kawaida,tusichukulie poa ukimwi unaua na hauzoeleki chukua tahadhari Mtanzania mwenzangu kwani tu nguvu kazi ya Taifa.


Sambamba na hilo Mwenyekiti huyo wa Kamati ya kudhibiti ukimwi (CMAC) ameiagiza Halmashauri hiyo kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kuhakikisha  vikundi vya vijana,wanawake na walemavu

vinasajiliwe ili kuweza kukidhi mahitaji ya kupewa mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri.Agizo hilo limetokana na ziara ya kamati hiyo iliyofanya tarehe 11.07.2024 ambapo

kamati ilitembelea kikundi cha vijana cha upendo wajasiriamali waliopo katika kata ya Segese na kuona shughuli wanazozifanya, moja ya shughuli hizo ni biashara ya matunda sokoni.Wanakikundi

hao wamemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kuweka mazingira mazuri kwa mashirika mbalimbali ikiwemo SHIDEFA PLUS kwani linawawezesha kupata elimu za stadi za maisha.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.