• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Tendeni haki kwa jamii

imetumwa: January 16th, 2024

Kauli hii imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji(W) Halmashauri ya Msalala NDG.Khamis Katimba katika kikao cha kuyajengea uwezo mabaraza ya ardhi ya Kata.Kikao hicho kimefanyika

katika ukumbi wa shule ya Sekondari Mwl.Nyerere iliyopo katika kata ya Segese ambapo wajumbe wa mabaraza ya ardhi ya kata 9 wamehudhuria na kujengewa uwezo.Mkurugenzi Mtendaji(W)

amewataka wajumbe hao kutenda haki kwa kila mwananchi kwani kazi waliyopewa ni ya kitumishi na si ya kupata faida kwani ina vishawishi lakini amewataka wasimamie haki maana malipo

yao ni makubwa mbele ya mwenyezi Mungu.


Awali Mwanasheria wa Halmashauri NDG.Leonard Mabula amesema Mabaraza ya Ardhi ya Kata yana mchango mkubwa katika kuhakikisha mashauri ya ardhi yanamalizwa katani na kuwezesha wananchi

kupata haki zao na wanaposhindwa ni sharti mashauri hayo yapelekwe mabaraza ya ardhi ya Wilaya hivyo kazi yao ni kutoa ushauri na sio hukumu kwani kazi ya kutoa hukumu ni ya mahakama

sambamba na hilo amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji(W) kwa kuona umuhimu ya mabaraza haya kujengewa uwezo kwa kukumbushwa majukumu yao ya msingi.


Kwa upande wao wajumbe wa kikao hicho wamempongeza NDG.Khamis Katimba kwa kuthamini kazi ya kila mtu ndani ya Halmashauri kwani Mkurugenzi Mtendaji huyo amekuwa akitoa elimu kwa wananchi

na wataalamu ngazi za vijiji na kata na kuwezesha wataalamu hao kuongeza hari ya utendaji kazi hasa katika sekta za kilimo,elimu,afya na uwekezaji kwani jamii sasa inawezeshwa kulima

kisasa na kupitia mafunzo haya wajumbe hao wameahidi kufanyia kazi yote waliyoelekezwa na kujiepusha na rushwa katika utoaji haki.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.