• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

“TUMIENI FURSA HII KUJIONGEZEA MAPATO”

imetumwa: July 1st, 2018

Kauli hii imetolewa na mgeni rasmi, makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Kahama mkoani Shinyanga ndugu Benedicto Manowali leo wakati wa uzinduzi wa gulio na mnada wa ng’ombe, mbuzi, kondoo na biashara ndogo ndogo katika kijiji cha bunango kata ya Bugarama. Sherehe hiyo imehudhuriwa na kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala DR. Ntanwa Kilagwile, Afisa mapato ndugu Samwel Silutongwe, Kaimu mweka hazina, wataalamu mbalimbali wa kata, viongozi wa siasa na dini na umati mkubwa wa wananchi.Akiwakaribisha viongozi na wananchi katika sherehe hiyo mtendaji wa Kata ya Bugarama amesema uwepo wa gulio na mnada utasaidia kuchochea maendeleo ya wananchi na kuchangia pato la taifa kwani miundombinu ipo tayari muda mrefu ambapo eneo hili ni rahisi kufikika kwa kuwa Halmashauri wakishirikiana na mgodi wa Accacia walitengeneza mazingira mazuri ya kufanya biashara. Katika sherehe hii vikundi mbalimbali vya muziki wa asili vimetoa burudani na kukonga nyoyo za umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza.

Akitoa risala ya sherehe hii ya ufunguzi mgeni rasmi amesema Halmashari imeamua kuzindua gulio na mnada kwa siku ya jumapili ili kurahisisha shughuli za biashara kwa wafugaji na wakulima kwani awali mkulima alipaswa kusafiri kilomita nyingi kwenda kuuza mifugo yake, hivyo ufunguzi huu utasaidia kupunguza gharama za usafiri na kuongeza mzunguko wa fedha ndani ya kata ya Bugarama na Bulyanhulu. Sambamba na hili mgeni rasmi ameongelea mapato yanayokusanywa na Halmashauri huwarudia wananchi wa Halmashauri ambapo amesema kipaumbele hutolewa kwa shughuli za kiuchumi za eneo husika hivyo kuwaomba wananchi kujitokeza katika gulio na mnada huo. Ametoa mfano wa ushuru wa stendi kwa mwaka 2017/18 Halmashauri ilipanga kukusanya Tsh. Milioni 60 ambapo mpaka sasa imekusanya Tsh. Milioni 40.

Ameitaka jamii ijilinde na maambukizi mapya ya ukimwi kwani ukimwi upon a unaua, hivyo ni jukumu la kila mmoja wetu kwenda kupima na kufahamu afya yake.

Imetolewa na Kitengo cha TEHAMA Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.