• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

viongozi waaswa kusimamia Ukusanyaji Mapato

imetumwa: August 11th, 2023

Viongozi wa Kata na Vijiji ndani ya Halmashauri ya Msalala leo wameaswa kuhakikisha wanasimamia zoezi la ukusanyaji mapato

ndani ya maeneo yao ya Utawala na kuhakikisha vyanzo vyote vinakusanywa na fedha kuwasilishwa Serikalini ili wananchi

kupitia Serikali wawezeshwe kutatuliwa kwa changamoto zinazowakabili kama Maji,Umeme,barabara,elimu na afya kwani vitu

vyote hivyo vinahitaji raslimali fedha hivyo mapato yakisimamiwa ipasavyo fedha zitapatikana na kutatua kero za wananchi.


Ujumbe huu umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji(W) Ndg.Khamis Katimba wakati akifungua mafunzo ya mfumo wa usimamizi na matumizi

ya fedha (FFARS) zinazoletwa na Serikali kuu katani na vijijini kwa ajili ya kukamilisha miradi mbalimbali ngazi ya vijiji

kwani Serikali inapeleka fedha moja kwa moja katika vituo vya kutolea huduma kama hospitalini,mashuleni,ofisi za kata na vijiji.

Halmashauri imeona ni vema watendaji wa kata na vijiji wapewe mafunzo ili kurahisisha usimamizi wa fedha zinazotolewa.


Kwa upande wao viongozi wa kata na vijiji wamempongeza Mkurugenzi Mtendaji(W) huyo kwa kuwajali kwani tangu afike ndani ya Halmashauri

amewatembelea katika maeneo yao ya kazi na kutatua changamoto mbalimbali sambamba na kuwaita Halmashauri kwa ajili ya kuwajengea uwezo

hasa katika zoezi zima la usimamizi wa mapato kwani ndiyo kipaumbele cha kwanza cha kiongozi huyo na kuahidi kutomwangusha kwani mafunzo

haya yatawasaidia kuhakikisha haki inatendeka na mapato kukusanywa ili jamii iweze kufaidika na matunda ya Serikali yao tukufu inayoongozwa

na Rais Samia Suluhu.


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.