• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

‘‘WAKANDARASI HAKIKISHENI MNATUMIA MARIGHAFI ZA NDANI KATIKA KAZI ZENU’’; PROF,MKUMBO

imetumwa: October 20th, 2018

‘‘WAKANDARASI HAKIKISHENI MNATUMIA MARIGHAFI ZA NDANI KATIKA KAZI ZENU’’; PROF,MKUMBO

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maji Prof,Kitila Mkumbo,amewataka wakandarasi hapa nchini kutumia marighafi yanayotengenezwa na viwanda vya ndani ili kukamilisha miradi inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali kwa wakati ulipangwa.

Alisema kuwa unapotumia marighafi kutoka nchi za nje huchelewa kufika kwa muda mwafaka na kupelekea mradi kushindwa kukamilika kwa wakati ikiwa ni pamoja na kushindwa kutoa huduma kwa wananchi ambao ndio walengwa wa miradi hiyo.

Prof.Mkumbo aliyabainisha hayo jana wakati akisaini hati ya makubaliano ya kisheria katika kutekeleza mradi wa pamoja(JOINT WATER PARTNESHIP PROJECT) unaogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 13.8 nautakao wahudumia zaidi ya wananchi elfu kumi kutoka mikoa ya Geita na Shinyanga.

Alisema kuwa,kila mkandarasi anatakiwa kutumia ipasanyo marighafi kutoka katika viwandani vya ndani ili iwe rahisi kukamilisha miradi kwa wakati na kutoa huduma kwa wananchi,huku akivitaka viwanda vya ndani kutoa marighafi zenye ubora wa hali ya juu.

“Nataka kuona kila mkandarasi anatumia marighafi kutoka katika viwanda vyetu vya ndani nasio kwenda kununua nchi za nje,tumekuwa tukipoteza muda katika kukamilisha miradi yetu tunayotekeleza kwa kusubilia marighafi kutoka nje na huku viwanda vyetu vinazalisha kila aina ya marighafi”Alisema.

Prof,Mkumbo aliongeza kuwa,”Viwanda vyetu vya ndani hakikisheni mnatengeneza bidhaa au marighafi zenye ubora wa hali ya juu,huku akiwataka mamlaka ya uthibiti ubora(TBS) kuhakikisha bidhaa hizo kama zinaubora unaotakiwa kabla ya kuingizwa sokoni.

Aidha kuhusu mradi wa pamoja prof,Mkumbo alisema,mrdi huo kwa awamu ya kwanza utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 13.8 huku Halmashauri ya Shinyanga ikitoa milioni 400,Halmashauri ya msalala Milioni 600,Halmashauri ya Nyang’hwale milioni 600, acacia Bulyanhuru ikitoa bilioni 4.5 pamoja na serikali kuu bilioni 5.2.

Nae meneja wa Migodi ya Bulyanhuru na Buzwagi Benedict Busunzu alisema kuwa,mradi huo utapita katika vijijini 14 kutoka mikoa ya geita na shinyanga na utawahudumia zaidi ya wananchi elfu kumi,nakwamba mradi huo utasaidia kumshusha mama ndoo kichwani ifikapo mwaka 2021.

Alisema, mradi huo utatoa maji kutoka ziwa Victoria kupitia mradi wa Kashwasa huku ukianzia katika kijiji cha Mhangu hadi kijiji cha ilogi na kuhudumia vijiji vyote vya njiani ambavyo ni Mwenge, Nyugwa, Mwamakiliga, Kharumwa, Izunya, kafita, lushimba, kakola, namba tisa, rwabakanga, Bushing’we na Bugarama.

Kwa upande wake meneja maradi kutoka kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) Lzangi Li alisema kuwa,asilimia kubwa ya marighafi au mabomba atatumia kutoka katika viwanda vya ndani,nakwamba zaidi ya bilioni 3.4 zimetegwa kwa ajili ya kununua vifaa hivyo.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.