• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Wananchi Wilayani Kahama waaswa kuchangamkia fursa za Uwekezaji

imetumwa: February 26th, 2018

Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga watakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji zinazotolewa nchini.

Rai hiyo imetolewa na waziri wa nishati mh. Dk. Medard Kalemani wakati akizungumza na wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wakati wa kikao kazi cha viongozi wa serikali, wafanyabiashara, viongozi wa mashirika ya kidini na binafsi mwanzoni mwa wiki hii.

 Mh.Dk Kalemani amesema kuwa bomba hilo lenye urefu wa km 1445 litapita katika mikoa nane ya Tanzania ambayo ni mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Singida, Tabora, Dodoma, Manyara, Arusha na Tanga na katika wilaya 24 ikiwemo wilaya ya Kahama ambapo kitajengwa kituo kikubwa cha usanifu wa mafuta katika kata ya Isaka na hivyo hii ni  fursa kwa wana Msalala, Kahama  na Shinyanga kwani itatoa ajira kwa Watanzania kwa kuwa  zaidi ya asilimia 80% ya mradi huo utakuwa nchini Tanzania

“Mradi  huu ni fursa kubwa kwetu sisi kama Watanzania kibiashara na ajira na tunatarajia utatoa ajira zaidi ya  elfu kumi wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi ajira za muda mrefu wa kati na za muda mfupi pia zitatolewa’’dk Kalemani amesema.

Aidha Mh.Dk Kalemani amewataka wananchi wilayani Kahama kuupokea mradi huo kwa mikono miwili na kutoa ushirikiano kwa serikali ili mradi uweze kutekelezeka kirahisi,na kwamba ujenzi huo unatarajiwa kuanza mwezi mei mwaka huu wa 2018 na kukamilika mwaka 2020.

Akifafanua maswala ya fidia waziri wa nishati amesema kuwa serikali inafanya juhudi za kuhakikisha watanzania wanapata fursa kwanza na kutumia sera na sheria za Tanzania katika kutoa fidia kwa wananchi ambao ardhi zao zitatumika katika ujenzi wa bomba hilo la mafuta ili kuwalinda na kuhakikisha wanapata fidia zao stahiki. Aliongeza kwa kuwataka washiriki wote wa kikao kazi hiki kuendelea kutoa elimu kwa wananchi ili kurahisisha utekelezaji wa mradi huo kwa kuwa wananchi watakuwa na uelewa wa kutosha juu ya suala hilo.

                                                                                                                                                Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.