• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WEREDI

imetumwa: March 6th, 2018

WATUMISHI WAASWA KUFANYA KAZI KWA WEREDI

Kikao cha watumishi  idara ya elimu  na watendaji  wa Kata kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya

Wilaya ya Msalala na kuhudhuriwa na walimu wakuu , waratibu elimu kata, Maafisa elimu kata, Mgavi, Afisa

mipango , Mhasibu wilaya, Afisa utumishi Wilaya. Ambapo kikao hicho kiliendeshwa na kaimu Mkurugenzi wa

Halmashuri ya Msalala Ndg. Masatu Mnyoro , kikao hicho kilikuwa na lengo la kuwakumbusha watumishi

namna bora ya uwajibikaji katika mazingira yao ya kazi ambapo Kaimu mkurugenzi aliwaambia walimu

wakuu na watendaji hao kuwa na ushirikiano wa karibu na watu wanao waongoza ilikuweza kufanikisha kwa

pamoja shughuli za Serikali kwani mafanikio ya pamoja ni  mafanikio ya Halmashauri na si ya mtu binafsi pia

aliwapongeza walimu kwa kufanya vizuri kwenye Mfumo wa FFARS kwani wamekuwa wakifuata utaratibu kama

ambavyo wamekuwa wakielekezwa. Sambamba na hilo Ndg. Mnyoro aliwataka walimu kutambua gharama ya

samani zote wanazo kuwa wanapewa toka Halmshauri.

Afisa manunuzi Ndg. Lorand  nae aliwakumbusha wahasibu wa shule na walimu wakuu hao kuwa ni lazima

wanapo fanya manunuzi yoyote ya Serikali ni muhimu kufuata uataratibu wa manunuzi ya Serikali ambayo ni

kama vile kupitisha fomu za ushindani wa bei ambapo aliwahimiza wahasibu kufanya hivyo kutawasaidia

kuwapata wazabuni wenye bei nzuri

Afisa elimu Ndg. Julius Buberwa  nae aliwaagiza walimu kuwa na utaratibu wa kuweka wazi mapato na

matumizi ya shule ilikupunguza maswali kwa walimu wao na Jamii inayo wazunguka kwa ujumla . sambamba

na hilo Afisa elimu aliwaagiza walimu wakuu hao kutunza samani wanazopewa .

Afisa Utumishi Ndg. Mary Nziku nae aliwaasa watumishi hao kufanya kazi kwa uweredi na pia kuacha tabia ya

kuwakatisha tama watumishi wanao waongoza kwani wao ndio wapo huko kwa niaba ya Mkurugenzi na

aliwataka pia wakuu hao kuheshimiana na kuthaminiana kwa kufanya hivyo kutawasaidia kuwa na mafanikio

ya pamoja. Ali muomba afisa elimu kuto vyeti vya pongezi kwa walimu wanaofanya vizuri ilikuongeza motisha

kwa watumishi.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.