• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

WIKI LA ELIMU HALMASHAURI YA MSALALA YATIA FORA

imetumwa: May 16th, 2017

MAADHIMISHO YA WIKI LA ELIMU  KWA MWAKA 2017 MSALALA YATIA FORA

Wiki ya Elimu huadhimishwa kila mwaka kuanzia mwezi wanne mpaka mwanzoni mwa mwezi wa tano. Katika maadhimisho haya Halmashauri ya Wilaya hupata fursa ya kuwapongeza wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya kitaifa, walimu na shule zilizofanya vizuri. Pia kutoa onyo kwa shule zilizoanya vibaya katika Mitihani ya Kitaifa.

Maadhimisho ya wiki la Elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala kwa mwaka 2017 yalifanyika katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, ambapo Katibu Tawala wa Wilaya ya Kahama ndugu Timothy Ndanya alikuwa Mgeni rasmi katika warsha hii.

Warsha hii ilipambwa na mazoezi kwa vitendo toka kwa wanafunzi wa shule zinazopatikana katika Halmashauri hii.

Mgeni Rasmi Katibu Tawala (W) ya Kahama ndugu. Timothy Ndanya aliyevaa suti na miwani, Makamu mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Benedicto Manowali aliyevaa suti wa pili kutoka kushoto baada ya Injinia wa Maji ndugu Cyprian ndawavuye akifuatiwa na Mwenyekiti wa kamati ya Elimu, Afya na Maji Mh. Gerald Mwanzia na wajumbe wengine wakiangalia zoezi kwa vitendo la somo la Fizikia.

Mgeni Rasmi Katibu Tawala (W) ya Kahama ndugu. Timothy Ndanya aliyevaa suti na miwani, Mkurugenzi Mtendaji (W) ndugu Simon Berege  aliyevaa shati nyeupe na tai, Mwenyekiti wa kamati ya Elimu, Afya na Maji Mh. Gerald Mwanzia mwenye shati la pinki, Mkuu wa idara ya Ardhi na  Maliasili, na wajumbe wengine wakiangalia zoezi kwa vitendo la somo la Baiolojia.

Akisoma Risala kwa mgeni Rasmi Afisa Elimu Taaluma kwa shule za msingi ndugu. Euliko Mbaga alisema lengo la maadhimisho ya wiki ya elimu ni Kutoa fursa kwa jamii kuweza kufahamu kwa undani maendeleo ya Elimu ndani ya Halmashauri.

 

Nae Kaimu Mkurugenzi (W) ndugu Zabron Donge aliongezea kwa kusema Halmashauri ya Msalala imejipanga kuhakikisha huduma nzuri na zenye ushindani zinapatikana kwa kuboresha mazingira ya kujifunzia na kutoa motisha kwa wafanyakazi. Alitoa mfano wa kukamilika kwa ujenzi wa maabara na kuziwekea mifumo ya gesi, ambapo Halmashauri hiyo imekamilisha maabara 13 kati ya 15 na zote zinafanya kazi.

Aliiomba jamii ione umuhimu wa kushirikiana na Serikali katika kufanikisha Elimu bora inapatikana kwani alisema Elimu ndo msingi wa maisha na mwangaza katika mambo mbalimbali hivyo wazazi, walezi na wadau wote tushirikiane kwa pamoja kuleta mabadiliko katika Nyanja ya Elimu Msingi na Sekondari kwa maendeleo ya jamii zetu na taifa kwa ujumla.

                                                          

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.