• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Wizara ya Afya i tayari muda wote

imetumwa: July 22nd, 2024

maelezo haya yamejiri leo tarehe 23/07/2024 katika kikao cha Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango kilichokuwa kikijadili taarifa za utekelezaji za robo ya nne ambapo

kilipokea maelekezo toka kwa Mkurugenzi wa Mafunzo Wizara ya Afya DR.Saitol Laizer ambaye ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Msalala kwa kuwa na maono ya mbali kwani maendeleo

ya kweli hupatikana mtu anapokuwa na afya bora pasipo kusumbuliwa na maradhi.Halmashauri ya Msalala katika mipango yake ya maendeleo iliamua kujenga chuo cha ukunga na uuguzi

kwa lengo la kuzalisha wataalamu wa sekta ya Afya.


Uamuzi mlioufanya kwa kujenga chuo hiki ni cha kupongezwa sana kwani ni halmashauri chache nchini zenye uwekezaji wa aina hii,halmashauri ya Msalala mpo vizuri sana katika

kuunga mkono kwa vitendo jitihada zinazofanywa na wizara ya Afya nchini hususani idara ya mafunzo hakika ninyi ni wadau wetu hivyo wizara ya Afya idara ya Mafunzo tupo tayari

muda wote kuhakikisha chuo hiki mwaka ujao kinaanza kudahili wanafunzi kwani nimeridhishwa na miundombinu iliyopo sambamba na utekelezaji wa maelekezo tunayoyatoa kila tunapofanya

ukaguzi.Nimemwelekeza Mratibu wa Mafunzo ahakikishe raslimali watu kwa maana ya walimu aanze kuwatafuta ili mei 2025 chuo kianze masomo.


Nae Mratibu wa Mafunzo  ameiomba Halmashauri kuhakikisha inakamilisha mabweni mawili ambayo tayari yameshaezekwa kwani mazingira ya chuo kilipo sio rafiki kwa

wanachuo kupanga nje ya chuo kwani bado wanahitaji malezi.Sambamba na hili Halmashauri ijenge nyumba ya mwangalizi wa wanachuo pia iangalie uwezekano ya kupata mtu atakaefuatilia

michakato ya kuanza kwa chuo hiki,ikiwemo mambo ya usajiri wa chuo mapema maana kuna Taasisi lazima zije kukagua ili kuridhia usajiri wake.


Kwa upande wake Myenyekiti wa Halmashauri MHE. Mibako Mabubu amesema mapungufu yote yaliyobainishwa na Wizara ya Afya kupitia Wataalamu wa Idara ya Mafunzo nchini,tumeyapokea na tunaahidi

kuyafanyia kazi mapema ili chuo hiki kianze kupokea wanachuo kwani tunaamini uwepo wa wanachuo kutachochea maendeleo katika maeneo ya Halmashauri yetu sambamba na kutatua changamoto za

upatikanaji wa watumishi wa Afya nchini.Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani kwa mwaka huu 2024/25 tumepanga kuajiri watumishi wa Afya kwa mkataba, yote hii inatokana na sera na mipango

 mizuri ya uwekezaji iliyowekwa na Rais wetu DR. Samia Hasain Suluhu.Tunamshukuru pia Mbunge wetu Idd Kassim Idd kwa kutuwakilisha vema kwani bila kufanya kazi kwa umoja mafanikio mnayoyaona yangekuwa ndoto.




Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.