• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

MADIWANI WAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

imetumwa: February 5th, 2018

MADIWANI WAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI  YA MAENDELEO HALMASHAURI YA MSALALA

Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango iliyo kuwa ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala

Mh.Benedict Manuali imefanya ukaguzi wa miradi mabalimbali ndani ya Halmashauri ya Msalala na ikiongozana na

wataalamu mbalimbali toka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo.

 Kamati hiyo ilipitia miradi mitatu ambayo ni pamoja na Ujenzi wa barabara toka Mwamboku hadi  Nyaligongo na

barabara hiyo Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu walitoa ushauri kuwa barabara hiyo inahitji kuinuliwa kiasi na

kuongezewa madaraja kwani madaraja yaliyopo hayakidhi mahitaji.

Mradi mwingine uliopitiwa na kamati hiyo ni ujenzi wa soko na ghala la kuhifadhia nafaka Kata ya Bulige na

kujionea shughuli mbalimbali za ukamilishaji wa ujenzi huo ambapo unaelekea mwishoni, akizungumza mbele ya kamati

hiyo msimamizi wa Mradi huo Ndg. Maulid Ibrahim kuwa wanatarajia kukamilisha ujenzi huo ndani ya wiki mbili pia

wajumbe wa kamati hiyo waliongeza kuwa kunahitajika kuwekwa bati zinazopitisha  mwanga na kuweka mtandao wa

umeme ndani ya jengo hilo.

Sambamba na hilo kamati ya ukaguzi ilipitia mradi wa ujenzi wa bweni la kulala wasichana katika shule ya

sekondari Bulige na kujionea shughuli zilizofanyika pamoja na changamoto zake kwani kalo la choo halijakamilika

kutokana na kalo hilo kujaa maji ya chemichemi pia kamati ilipitia ukarabati wa vyumba vya madarasa vinne

vilivyo fanyiwa ukarabati kwa asilimia miamoja na kupongeza shughuli hiyo.



Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.